Kila mzazi hupenda kuona mwanae anafanikiwa katika maisha na hata kuwa na familia bora, lakini kuwa na vyote hivyo mzazi au mlezi ananafasi kubwa sana katika maisha ya baadae kwa mtoto.
Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo, tunawakaribisha wadau kuungana na Makimbilio Child Care katika kuwalea watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu, kwani nao wanahitaji kuwa na maisha bora kama watoto wengine.
Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo, tunawakaribisha wadau kuungana na Makimbilio Child Care katika kuwalea watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu, kwani nao wanahitaji kuwa na maisha bora kama watoto wengine.
Tuwalee watoto wetu malezi yatakayowafaa hata ukubwani
Reviewed by MAKIMBILIO CHILD CARE
on
September 26, 2017
Rating:
No comments: